Mpendwa,
Nakusalimu katika jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
Baada ya kurudi toka kwenye safari za huduma ambako nilimalizia Singida kwa muda wa mwezi mzima, kuanzia tarehe 10/9/2018 nitaendelea na vipindi vyangu vya mafundisho kupitia Redio Habari Maalum LIVE kuanzia saa 1:30-2:30 ucku. Kipindi kinaitwa IJUE KWELI. Ukisikiliza utapata no za studio ambazo utakua tayari kuniuliza maswali kutokana na somo nitakalokua nimelifundisha. Siku ya Ijumaa ni siku ya maswali lakini baada ya kumaliza kipindi cha Ijue kweli saa 2:30 uck, nitaendelea na kipindi kingine kinachoitwa Rehema na Neema kinachoanza saa 2:30-3:00. Mwisho wa kipindi cha pili nimetaja no zangu za simu pamoja na e-mail yangu ambayo ni malugumk@gmail.com utaniandikia kwa e mail au utanipigia simu kuniuliza maswali au utanitumia ujumbe mfupi kwa njia ya simu. Kwa wale ambao wako nje ya nchi wataanza na alama ya kujumlisha yaani +255 0784-517603,0759357561-0715517603.
Mungu akubariki na karibu sana.
Mwj Malugu.
Testimonies